Jumatano, 22 Aprili 2015

Home » Entertainment » Ndoa ya Shetta imevunjika…. mke wake kakataa pia hii zawadi aliyopewa.

January Makamba - Tanzania Mpya

Ndoa ya Shetta imevunjika…. mke wake kakataa pia hii zawadi aliyopewa.

Shetta 2Usambazaji wa picha kwenye mitandao siku hizi umekua na nguvu kubwa sana, picha inaweza kusambazwa ndani ya dakika 20 ikabadilisha mambo mengi sana kwenye maisha tunayoishi.
Nakukutanisha na msanii wa bongofleva Shetta ambaye alikuja kwenye studio za Millard Ayo na kukubali kuweka wazi kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake ambayo haina hata miaka mitano.
Unataka kuona alichosema kuanzia mwanzo mpaka mwisho? unataka kuona picha ya zawadi aliyomnunulia mke wake na bado akaikataa? tembelea kwenye  link hapa chini..
https://youtu.be/WcURBxAmw8A

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni