Jumapili, 26 Aprili 2015

April 25 2015 #MAGAZETI ya TANZANIA leo yameamka na hizi kwenye udaku, michezo na hardnews !

DSC01765
Karibu tena mtu wangu.. Leo April 25 2015 najua huenda MAGAZETI yakachelewa kukufikia hapo ulipo, nimefanya juhudi kuhakikisha unayafahamu yote ya MAGAZETINI TZ asubuhi ya leo kama ilivyo kawaida yangu kila siku kutokea kwenye Udaku, michezo na Hardnews.. zote zinakufikia hapahapa millardayo.com, unaweza kujiunga na mimi kwenye FacebookInstagram na Twitter @millardayo zote hizi utazipata.
DSC01765
DSC01766
DSC01767
DSC01768
DSC01769
DSC01770
square_with_sponsorsMajina yaliongia kwenye hatua ya tano bora kwenye Tuzo za Watu 2015 yametangazwa ambapo mapendekezo yaliyokuwa yakitumwa na watu kwa wiki tatu tangu kuzinduliwa kwa tuzo hizo.
Haya ndio majina matano yaliyoingia kwenye tano bora:
Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1 
Dida – Times FM
D’Jaro Arungu – TBC FM
Diva – Clouds FM
Mariam Kitosi – Times FM
Millard Ayo – Clouds FM
Kipindi cha redio kinachopendwa TZW2
Ala za Roho – Clouds FM
Amplifaya – Clouds FM
Hatua Tatu – Times FM
Papaso – TBC FM
XXL – Clouds FM
Mtangazaji wa runinga anayependwa TZW3 
Abdallah ‘Dullah’ Ambua – EATV
Salama Jabir – EATV/Maisha Magic
Salim Kikeke – BBC Swahili
Sam Misago – EATV
Zamaradi Mketema – Clouds TV
Kipindi cha runinga kinachopendwa TZW4
Friday Night Live – EATV
In My Shoes – EATV
Mkasi – EATV
Planet Bongo – EATV
Take One – Clouds TV
Mwongozaji wa video anayependwa TZW6
Abby Kazi
Adam Juma
Khalfan
Hanscana
Nisher
Muongozaji wa filamu anayependwa TZW7
Jacob ‘JB’ Stephen
Leah Mwendamsoke
Timothy Conrad
Vincent ‘Ray’ Kigosi
William Mtitu
Mwigizaji wa kike wa filamu anayependwa TZW8
Elizabeth ‘Lulu’ Michael
Irene Uwoya
Jacqueline Wolper
Riyama Ally
Wema Sepetu
Mwigizaji wa kiume wa filamu anayependwa TZW9
Hemedi Suleiman
Jacob ‘JB’ Stephen Mzee
King Majuto
Salim ‘Gabo’ Ahmed
Vincent ‘Ray’ Kigosi
Mwanamuziki wa kike anayependwa TZW10
Lady Jaydee
Linah
Mwasiti
Shilole
Vanessa Mdee
Mwanamuziki wa kiume anayependwa TZW11 
Alikiba
Barnaba
Diamond Platnumz
Jux
Ommy Dimpoz
Filamu inayopendwa TZW12
Chausiku
Kigodoro
Madam
Mshale wa Kifo
Sunshine
Video ya muziki inayopendwa TZW13
Akadumba – Nay wa Mitego
Kipi Sijasikia – Profesa Jay
Nani kama Mama – Christian Bella f/ Ommy Dimpoz
Wahalade – Barnaba
XO – Joh Makini
list1


MAISHA YA  MTANGAZAJI WA CLOUDS FM TOKA AMEZALIWA MPAKA SASA MILLAD AYO

Millard Afrael Ayo alizaliwa Arusha January 26 akiwa ni mtoto wa kwanza kwenye famili ya watoto wanne ya Afrael Ayo ambae ni mmeru wa Akheri Tengeru, ni mfanyabiashara na mama Mary Ayo ni mwalimu.

Baada ya mama yake mzazi kuona uharaka wa uelewa wa Millard, alimuanzisha shule akiwa mdogo sana na hatimae kumaliza elimu ya msingi akiwa na miaka 12 tu, akamaliza form four akiwa na miaka 16 mwaka 2002, sehemu zote hizo yeye ndio alikua mdogo kuliko wote darasani kuanzia Patandi Primary School Tengeru, Akeri Secondary School na Mbezi beach high school..........

https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-ash4/428464_520604864670993_48580956_n.jpg


Wakati akisubiri majibu, Millard alijiunga na Arusha College of Electronics na kusomea ufundi wa kutengeneza satelitte dish, tv deck na radio masomo ambayo aliyamaliza na aliyasoma kwa sababu ilikua ni kazi ya pili aliyoipenda, baada ya hapo mama yake mzazi alishawishiwa na marafiki zake ili Millard arudishwe shule kuendelea na masomo ya sekondari kitu ambacho alikikubali lakini hakikua na mapokezi mazuri kwa Millard kwa sababu yeye alihitaji kufanya kitu kingine kwa wakati ule.
Mambo yalibadilika pale uncle wake aitwae Gabriel aliekua Marekani aliporudi Tanzania na kumshawishi mama Millard amuache mtoto afanye kile anachotaka na anachokipenda, hapo ndipo Millard akapata nafasi ya kwenda kujiunga na East Africa Training Institute kusomea utangazaji na uandishi wa habari mwaka 2004.

Baada ya mwaka mmoja Millard alijiunga na TVZ Zanzibar kwa muda wa miezi mitano na akarejea Dar es salaam April 2005 kutafuta kazi baada ya hali kuwa ngumu kwenye familia na kukosa pesa kwa ajili ya kujiendeleza na masomo.

Alifanikiwa kupata kazi May 23 2005 kwenye kituo cha Wapo Radio 98.0 ambayo aliambiwa hatolipwa kwa sababu kanisa lililokua linamiliki radio hiyo halina pesa ila kwa sababu alikua na njaa ya maisha na kazi ilibidi aifanye kama ameajiriwa, kazi ilikua jumatatu mpaka jumamosi kuanzia saa mbili asubuhi huku kazi yake kubwa aliyopangiwa ni kukusanya habari za bei za bidhaa na hali ya usafi kwenye masoko Dar es salaam, pia kwenda kitengo cha MOI Muhimbili hospitali kuchukua habari za majeruhi na vifo vya ajali mbalimbali.

Kutokana na jitihada hizo Millard alianza kulipwa shilingi elfu tano kwa wiki mwezi wa pili baada ya kazi hivyo akawa na mshahara wa elfu 20 kwa mwezi, mshahara ambao uliongezeka na kufikia elfu 20 kwa mwezi kwenye mwaka wa tatu na wa mwisho akiwa Wapo Radio.

Baada ya hapo Millard alijiunga na ITV/Radio One mwaka 2008 ambako alisikika kwenye vipindi mbalimbali lakini MILAZO 101 na habari za michezo ITV ndio vilimpa umaarufu mpaka November 2010 alipojiunga na Clouds FM/TV na kuanza kusikika kwenye kipindi cha AMPLIFAYA december 6 2010 na baadae kukabidhiwa CLOUDS FM Top 20 June 2013.

Mpaka sasa Millard Ayo ni mmiliki wa tuzo 4 ikiwemo ya Mtangazaji bora 2006 kutoka Tanzania Radio Awards, Website bora 2012 kutoka Vodacom Tanzania na African Stars, na moja ni ya heshima akiwa mwandishi pekee kutunukiwa kutoka kwenye familia ya Marehemu mwigizaji Steven Kanumba.

Kipindi cha AMPLIFAYA pamoja na website yake ya millardayo.com ndio vilivyofanya ukubwa wa jina lake uongezeke.

Kitu ambacho watu wengi hawakifahamu, kipaji cha Millard Ayo kilionekana kwanza na aliyekua mtangazaji wa TBC1 Joseph Msami ambae kwa wakati huo ndio aliona uwezo wa Millard na kumshawishi boss wa Wapo radio kutoa ruhusa ya Millard kuingizwa studio kuwa mtangazaji na sio tena ripota.

Mtu wa pili ambae ndio alizidi kumnyanyua Millard kiutangazaji ni Godwin Gondwe ambae alimuona Millard toka akiwa Wapo Radio, kwanza ndio alikua mtu wa kwanza kumpa Millard dili la kurekodi tangazo la radio la bei kubwa 2007 toka ameanza utangazaji, lilikua la laki moja na nusu za Kitanzania na ndio ilikua pesa kubwa Millard kuwahi kulipwa kwa kazi ya mikono yake toka azaliwe, na ni pesa kubwa kuliko hata mshahara wake kwa mwezi wakati huo ambao ulikua shilingi elfu sitini.

Shukrani za pekee kwa Reginald Mengi, Joyce Muhavile, Julius Nyaisanga, Deogratius Rweyunga, Abdallah Mwaipaya na Isack Gamba ambao walikua kama wazazi/marafiki wakati Millard akiwa ITV, pamoja na kwamba kwa sasa hayupo ITV lakini urafiki wao haujaisha na Millard amekua balozi wao mzuri

Watu wengine waliomfikisha Millard hapa alipo kwa kiasi kikubwa ni Gardner G Habash ambae wakati Millard akiwa Wapo Radio alimsaidia sana kumpa nafasi ya kusikilizwa Clouds FM ambako alipata kazi ya kuanza na kipindi cha gospel lakini wiki hiyohiyo ndio akaitwa ITV, Reuben Ndege nae alicheza kwenye uwanja mkubwa zaidi kumsuka Millard Ayo alipojiunga na Clouds FM na alijaribu sana kumshawishi Millard kujiunga nao wakati akiwa Radio One, kiukweli siku zote amekua msaada mkubwa wakati wote na supporter mkubwa kwa Millard.

Sebastian Maganga ambae ni mkuu wa vipindi Clouds FM amekua msaada mkubwa sana kwa Millard Ayo, mshauri na hata ndugu ambae ni msikilizaji mzuri sana pale Millard anapozungumza nae na ndio alipendekeza Millard kuchukuliwa Radio One wakati huo.

Ruge Mutahaba amekua boss, kaka, mshkaji na mshauri wakati wote kwa Millard Ayo, kwa kiasi kikubwa pamoja na kwamba alitoa idhini ya Millard kujiunga na familia aliyokua anaipenda kwa zaidi ya miaka 10, amekua ni msaada mkubwa sana kwa Millard, kuna vitu vingi Millard alikua anasema hawezi lakini Ruge amempa neno na kumpa nguvu kwamba anaweza na ndio mafanikio ya Millard yameanza kuonekana hapo.

Big Boss Joseph Kusaga ambae ndio MD wa Clouds FM, nae amekua mshkaji, boss na kaka kwa Millard Ayo, nguvu ya neno lake kwamba ‘i’am proud of you’ pekee ndio linampa Millard Ayo nguvu kubwa ya kujituma zaidi na kutumia saa kadhaa kuandaa vipindi vyake siku zote na kujituma zaidi.

Jumamosi, 25 Aprili 2015


★Barclays Premier League
2:45 PM - Southampton vs Tottenham Hotspur
5:00 PM - Burnley vs Leicester City
5:00 PM - Crystal Palace vs Hull City
5:00 PM - Newcastle United vs Swansea City
5:00 PM - Queens Park Rangers vs West Ham United
5:00 PM - Stoke City vs Sunderland
5:00 PM - West Bromwich Albion vs Liverpool
7:30 PM - Manchester City vs Aston Villa

★Spanish Primera División
5:00 PM - Espanyol vs Barcelona
7:00 PM - Atletico Madrid vs Elche
9:00 PM - Getafe vs Levante
11:00 PM - Real Sociedad vs Villarreal

★German Bundesliga
4:30 PM - Borussia Dortmund vs Eintracht Frankfurt
4:30 PM - FC Cologne vs Bayer Leverkusen
4:30 PM - Hamburg SV vs FC Augsburg
4:30 PM - Hannover 96 vs TSG Hoffenheim
4:30 PM - VfB Stuttgart vs SC Freiburg
7:30 PM - Bayern Munich vs Hertha Berlin

★Italian Serie A
7:00 PM - Udinese vs AC Milan
9:45 PM - Internazionale vs AS Roma

★French Ligue 1
6:00 PM - Paris Saint-Germain vs Lille
9:00 PM - Bordeaux vs Metz
9:00 PM - Caen vs Guingamp
9:00 PM - Evian Thonon Gaillard vs Bastia
9:00 PM - Stade Rennes vs Nice
9:00 PM - Toulouse vs Nantes

Our world /Dunia yetu


Stream

Google yazindua huduma mpya ya simu

  • 24 Aprili 2015

Huduma ya Project Fi

Kampuni ya Google imatangaza kuwa itazindua huduma mpya nchini Marekani ambayo inaweza kutumiwa nyumbani na wakati wa safari za mataifa ya kigeni.
Huduma hiyo inayo fahamika kama Project Fi inatapatikana kwa simu za Smartphone za Google Nexus 6.
Huduma hiyo itatumia maeneo yaliyo na Wi-Fi sambamba na huduma zingine za mawasilianoi nchini Marekani za Sprint na T-Mobile na inaweza pia kutumiwa kwenye nchi 120 bila malipo ya ziada wakati mtu anaposafiri nje ya nchi.
Huduma hiyo itatolewa kwa malipo ya dola ishirini kwa mwezi kwa huduma za kawaida na dola kumi kwa mwezi kwa kila gigabyte ya data inayotumika.
Google inasema kuwa huduma hiyo huwa inajiunga moja kwa moja na zaidi maeneo milioni yenye huduna za Wi-Fi na mteja ana uwezo wa kuhamiswa kutoka kwa mtandao mmoja hadi mwingine kulingana na ni upi unaotoa huduma bora zaidi.

Ijumaa, 24 Aprili 2015

Droo:Barcelona kuchuana na Bayern Munich

  • Saa 7 zilizopita
kilabu bingwa Ulaya
Klabu ya Barcelona Itakutana na Bayern Munich katika nusu fainali ya kwanza ya kombe hilo.
Nusu fainali ya pili itazikutanisha timu za Real madrid dhidi ya Juventus ikiwa ni mkutano wa kwanza kati ya klabu hizo mbili tangu mwaka 2003.
Nusu fainali hizo zitachezwa tarehe tano na sita ya mwezi Mei huku mechi ya marudio ikichezwa wiki moja baadaye.
katika ligi ya Yuropa,mabingwa watetezi Seville kutoka Uhispania watakabiliana na Fiorentina huku Napoli wakikabiliana na Dnipro kutoka Ukraine.

Wahamiaji:Wanahabari wa UK washtumiwa

  • Saa 4 zilizopita
Mkuuwa haki za kibinaadamu katika umoja wa mataifa
Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Zeid Ra’ad Hussein, amekuwa akifadhaishwa sana na lugha ya magazeti ya Uingereza wanayotumia dhidi ya wakimbizi, lakini ni taarifa ya hivi punde iliyochapishwa na makala ya
‘The Sun’ iliyomghadhabisha zaidi.
Makala hiyo iliwaita wakimbizi mende, matamshi ambayo Hussein anasesema ni sawia na yale yaliotumika Rwanda kabla ya mauaji ya kimbari.
Wahamiaji
Mkuu huyo wa Haki za Kibinadamu amesema taarifa hiyo ya The Sun ilikuwa mojawapo tu ya taarifa nyingi za chuki na za kibaguzi ambazo zimechapishwa kwa miongo mingi na magazeti ya Uingereza.
Alisema desturi hii ilikuwa inaongeza moto wa chuki na udhalilishaji wa binadamu wengine. Hussein alisema kuwa malalamishi kuhusu makala hizo tayari yamepelekwa kwa Polisi wa jiji na akataka kuchukuliwe hatua kali.
Wahamiaji
Matamshi haya, hasa kutoka kwa afisa wa juu sana wa umoja wa mataifa, umeashiria wasiwasi ulioko kuhusu mjadala unaoendelea bara Uropa kuhusu wakimbizi wanaovukia Meditteranean kuingia Ulaya .
Mjadala ambao unasemekana unaendeshwa na hisia kali kwenye vyombo vya habari, na kwamba maoni ya uma huenda hayaungi mkono hatua zinazohitajika kuokoa maisha ya wanaokufa maji huko mediterrenean

Jolie Condemns UN's Inaction On Syria Conflict

Angelina Jolie has condemned the UN Security Council for its inaction in helping millions of refugees displaced by the four-year Syrian conflict.
The actress, a long-serving UN special envoy, claimed the crisis was "the lowest point in the world's inability to protect and defend the innocent".
Jolie has made 11 visits to Syrian refugees since the conflict began in 2011 - and claimed their hope of a peaceful conclusion had now turned to anger and resignation.
Many of the UN Security Council's powers have gone unused after Russia and China vetoed several proposed resolutions - including an attempt to refer the conflict to the International Criminal Court.
She described the "evil that has arisen from the ashes of indecision", and called on a foreign minister from each of the council's 15 member states to "work as one" by negotiating a political solution.
During her address, Jolie also spoke about the migrant crisis on the Mediterranean – as many of the people who have drowned at sea in recent weeks were Syrians.
"It is sickening to see thousands of refugees drowning on the doorstep of the world's wealthiest continent," she said.
"No one risks the lives of their children in this way except out of utter desperation."
So far, as many as 4 million Syrians have fled the conflict to seek new lives in neighbouring countries - with several nations warning they have become dangerously overstretched as a result.