Jumamosi, 14 Novemba 2015


Mambo yameanza Dodoma, ratiba ya Bunge ni hii + pichaz Wabunge waliofika..

By
Atkin Mulenga 
on
Kama umetembelea mitandao ya kijamii utakuwa umeona pilikapilika za kinachoendelea Dodoma sasahivi, baada ya Uchaguzi Mkuu kuisha wale wote waliopita kwenye nafasi ya Ubunge wanasubiri shughuli ya kuapishwa halafu Vikao vya Bunge vinaanza.
Mbunge Mteule wa Jimbo Mwanga K’njaro, Prof. Jumanne Maghembe akiwasilisha nyaraka zake wakati wa kusajiliwa Bungeni Dodoma.
MAGHEMBE        
Mbunge Mteule wa Sengerema, William Ngeleja nae kwenye foleni ya usajili katika Viwanja vya Bunge Dodoma.
NGELEJA
Mbunge Mteule wa Sengerema, William Ngeleja nae kwenye foleni ya usajili katika Viwanja vya Bunge Dodoma.
Prof JAY
Joseph Haule a.k.a Professor Jay alipost hii picha kwenye ukurasa wake wa Instagram jana, halafu akaandika >>> ‘Hi everybody, MJENGONI DAY ONE!!!
WABUNGE
Wabunge wengine pia wakiendelea na utaratibu wa kusajiliwa Dodoma.
Nimeipata Ratiba ya kitakachoendelea Dodoma kwa jumla ya siku saba mfululizo kupitia blog ya   millardayo.com  
 , yani kuanzia jana November 13  mpaka November 20 2015… Ratiba yenyewe hii hapa.
Bunge
Bunge II Bunge III



Prof JAY
Joseph Haule a.k.a Professor Jay alipost hii picha kwenye ukurasa wake wa Instagram jana, halafu akaandika >>> ‘Hi everybody, MJENGONI DAY ONE!!!
WABUNGE
Wabunge wengine pia wakiendelea na utaratibu wa kusajiliwa Dodoma.

New Music: Justin bieber Feat. Ariana Grande – What do you mean? [ Rmx ]


Remix ya Justin bieber aliyomshirikisha mwanadada  ArianaGrande – What do you mean? [ Rmx ] hii apa


Jumapili, 18 Oktoba 2015

Alhamisi, 1 Oktoba 2015

AJALI

Mtoto wa Marehemu Paul Walker kapeleka Kesi ya Kifo cha baba yake Mahakamani, madai yake ni haya…

By
Atkin mulenga 
on
Marehemu Paul Walker alikuwa mmoja ya wakali ambao wamecheza movie za Fast & Furious… Kifo chake ni moja kati ya vifo vilivyoshtua na kuwaumiza watu wengi Duniani.
Jamaa alifariki kwa ajali ya gari aina ya Porsche Carrera GT ambayo ilikuwa inaendeshwa na rafiki yake, Roger Rodas na Paul mwenyewe alikuwa amekaa upande wa pili.. hiyo ilikuwa November 30 2013, California Marekani.
Herculesstreet
Hili ndio eneo ambalo Paul Walker alipata ajali.
Leo kuna story ambayo imepewa uzito sana mitandaoni, inahusu ishu ya mtoto wa kike wa Paul Walker ambaye anaitwa Meadow Rain Walker mwenye umri wa miaka 16… amefungua mashtaka kuishtaki Kampuni ya Porsche kwamba ajali iliyopelekea kifo cha baba yake miaka miwili iliyopita, ilitokana na gari kuwa na matatizo na anadai kwamba muundo wa gari hiyo haikuwa gari ya kutembelea, ila ilikuwa na muundo wa gari ya mashindano.
Kingine ambacho kiko kwenye Mashtaka hayo ni kwamba wanadai gari hiyo haikuwa na mfumo mzuri wa umeme, kwa hiyo ilikuwa ni ngumu pia kwa Paul pamoja na mshkaji wake kutoka salama baada ya kupata ajali hiyo… Uchunguzi wa Maofisa Usalama wa Los Angeles ulitoa Ripoti yao kwamba sababu ya ajali hiyo ilikuwa mwendokasi.
Paul alifariki wakati ambao walikuwa kwenye maandalizi ya Movie ya Fast & Furious 7
Paul alifariki wakati ambao walikuwa kwenye maandalizi ya Movie ya Fast & Furious 7
Kwenye Ripoti hiyo pia Wanausalama wanasema Marehemu wote wawili hawakuwa wametumia kilevi cha aina yoyote na wala hawakutumia dawa za Kulevya.
Wimbo ambao uliandaliwa kama Dedication kwa Paul Walker ni huu hapa.. Wiz KhalifaFeat. Charlie Puth– ‘See You Ag


PART 1 - Dakika 6 Avril na Ben Pol on air with Millard Ayo

Ijumaa, 1 Mei 2015

Picha za Wema na gauni la harusi, pete ya ndoa @Instagram, eti ni ndoa ya ukweli?? Iko kwa Soudy Brown..

WSepetu
Pichaz ziko mitandaoni.. Wema Sepetu nae kapost kwenye ukurasa wake wa Instagram, amevaa gauni la harusi.. Wema Sepetu ameolewa kweli au movie????
Soudy Brown kamtafuta Wema.. alichokijibu ni kwamba ni kweli ameolewa ila hayuko tayari kumtaja mume wake.. amesema kuwa kaamua kufunga ndoa ya siri kwa kuogopa kupigwa ‘juju’.
Sepetuur
Wema amesema ndoa yao ilifungwa bomani kwa sababu mume wake ni mkristo.. kingine ni kwamba harusi ilihudhuriwa na watu watano pamoja na familia yake ila mwishoni mwa mwezi huu watafanya sherehe rasmi.
Kuhusu ishu ya kutopata mtoto Wema amesema mwanaume huyo anajua na amekubaliana na hiyo hali lakini inawezekana kwake wakapata mtoto.

Alikozaliwa Vanessa Mdee, watoto? mume? kipya alichosema kuhusu Jux? vyote viko hapa

Mtanzania aliyepata bahati ya kwenda marekani na Akon kupitia shindano la trace music star..

Diamond Platnumz alipokasirika na kuuonyesha upande mwingine wa nyumba yake, hii ni ya chumbani kwake

Diamond Zari 1
Kwenye hii post aliandika ‘State House tym Hii..😊
Super star kutokea Tanzania Diamond Platnumz usiku wa April 29 2015 aliamua kuonyesha upande mwingine wa nyumba yake aliyoijenga Dar es salaam ambapo alipost post zaidi ya moja kwa kile kinachoonekana kuwa ni baada ya kukasirishwa na comment ya follower wake Instagram.
Post iliyofata baada ya hii aliandika ‘Crazy Us 😄…Tafta kopo Ujiandae Kutapika maana Ndimu Zishakuzoea….😁😂 #StateHouseByNight
Unaweza kutazama hizi video fupi hapa chini uone alichoonyesha.

Post iliyofata pia alionyesha chumba chake tena na mrembo Zari akiwa kitandani na kuandika ‘Sasa si uniunfollow kama Nakukera👀.. hupendi halaf bado Umeng’ang’ania tu Kwenye Page yangu….Utaja kufa kwa Hasira bure’      
Post ya mwisho aliyoiweka ni hii hapa chini aliyoambatanisha na maneno yake ‘Nimemuuliza “unanita” kasema Ndio!… nije? kasema “Njoo”… siju niiweke inayofata au??? ‘
Diamond na mpenzi wake Zari the boss lady wataenjoy na Watanzania kwenye#ZariAllWhiteParty Mlimani City Dar es salaam ambapo mastaa kibao watakuwepo akiwemo rapper A.K.A wa South Africa na Shetta.
Diamond na Zari

January Makamba - Tanzania Mpya

Mashabiki wa AC Milan waja na staili mpya ya kukaa uwanjani… unajua kwa sababu gani?

fans ac
Kutofanya vizuri kwa klabu ya AC Milan kumewafanya mashabiki wa kukasirishwa.. hii sio klabu ya kwanza kukutwa na noma ya namna hii toka kwa mashabiki.. Arsene Wengerni moja ya makocha ambao wamepitia sana vipindi vigumu vya kukataliwa na mashabiki wa Klabu ya Arsenal, safari hii balaa limehamia AC Milan.
Wenger-despair-main
Mmiliki wa klabu hiyo Silvio Berlusconi ambaye ameiongoza klabu hiyo kwa miaka zaidi ya 30 ameonekana kuchokwa na mashabiki wa timu hiyo ambao sasa wameamua kufanya kama mgomo hivi.. wanataka mmiliki abadilishwe kwa kuwa timu haijafanya vizuri kwenye matokeo ya mechi zake nyingi walizocheza.
basta
Mashabiki hao wamekaa uwanjani kwa mtindo ambao unasomeka ‘BASTA‘ ambao tafsiri yake ni “sasa imetosha”.
Wengi wanataka kiongozi huyo aiuze klabu yake ili mtu mwingine inunue ifanye vizuri.

Jumapili, 26 Aprili 2015

April 25 2015 #MAGAZETI ya TANZANIA leo yameamka na hizi kwenye udaku, michezo na hardnews !

DSC01765
Karibu tena mtu wangu.. Leo April 25 2015 najua huenda MAGAZETI yakachelewa kukufikia hapo ulipo, nimefanya juhudi kuhakikisha unayafahamu yote ya MAGAZETINI TZ asubuhi ya leo kama ilivyo kawaida yangu kila siku kutokea kwenye Udaku, michezo na Hardnews.. zote zinakufikia hapahapa millardayo.com, unaweza kujiunga na mimi kwenye FacebookInstagram na Twitter @millardayo zote hizi utazipata.
DSC01765
DSC01766
DSC01767
DSC01768
DSC01769
DSC01770
square_with_sponsorsMajina yaliongia kwenye hatua ya tano bora kwenye Tuzo za Watu 2015 yametangazwa ambapo mapendekezo yaliyokuwa yakitumwa na watu kwa wiki tatu tangu kuzinduliwa kwa tuzo hizo.
Haya ndio majina matano yaliyoingia kwenye tano bora:
Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1 
Dida – Times FM
D’Jaro Arungu – TBC FM
Diva – Clouds FM
Mariam Kitosi – Times FM
Millard Ayo – Clouds FM
Kipindi cha redio kinachopendwa TZW2
Ala za Roho – Clouds FM
Amplifaya – Clouds FM
Hatua Tatu – Times FM
Papaso – TBC FM
XXL – Clouds FM
Mtangazaji wa runinga anayependwa TZW3 
Abdallah ‘Dullah’ Ambua – EATV
Salama Jabir – EATV/Maisha Magic
Salim Kikeke – BBC Swahili
Sam Misago – EATV
Zamaradi Mketema – Clouds TV
Kipindi cha runinga kinachopendwa TZW4
Friday Night Live – EATV
In My Shoes – EATV
Mkasi – EATV
Planet Bongo – EATV
Take One – Clouds TV
Mwongozaji wa video anayependwa TZW6
Abby Kazi
Adam Juma
Khalfan
Hanscana
Nisher
Muongozaji wa filamu anayependwa TZW7
Jacob ‘JB’ Stephen
Leah Mwendamsoke
Timothy Conrad
Vincent ‘Ray’ Kigosi
William Mtitu
Mwigizaji wa kike wa filamu anayependwa TZW8
Elizabeth ‘Lulu’ Michael
Irene Uwoya
Jacqueline Wolper
Riyama Ally
Wema Sepetu
Mwigizaji wa kiume wa filamu anayependwa TZW9
Hemedi Suleiman
Jacob ‘JB’ Stephen Mzee
King Majuto
Salim ‘Gabo’ Ahmed
Vincent ‘Ray’ Kigosi
Mwanamuziki wa kike anayependwa TZW10
Lady Jaydee
Linah
Mwasiti
Shilole
Vanessa Mdee
Mwanamuziki wa kiume anayependwa TZW11 
Alikiba
Barnaba
Diamond Platnumz
Jux
Ommy Dimpoz
Filamu inayopendwa TZW12
Chausiku
Kigodoro
Madam
Mshale wa Kifo
Sunshine
Video ya muziki inayopendwa TZW13
Akadumba – Nay wa Mitego
Kipi Sijasikia – Profesa Jay
Nani kama Mama – Christian Bella f/ Ommy Dimpoz
Wahalade – Barnaba
XO – Joh Makini
list1