Kama umetembelea mitandao ya kijamii utakuwa umeona pilikapilika za kinachoendelea Dodoma sasahivi, baada ya Uchaguzi Mkuu kuisha wale wote waliopita kwenye nafasi ya Ubunge wanasubiri shughuli ya kuapishwa halafu Vikao vya Bunge vinaanza.
Mbunge Mteule wa Jimbo Mwanga K’njaro, Prof. Jumanne Maghembe akiwasilisha nyaraka zake wakati wa kusajiliwa Bungeni Dodoma.
Mbunge Mteule wa Sengerema, William Ngeleja nae kwenye foleni ya usajili katika Viwanja vyaBunge Dodoma.
Mbunge Mteule wa Sengerema, William Ngeleja nae kwenye foleni ya usajili katika Viwanja vya Bunge Dodoma.
Joseph Haule a.k.a Professor Jay alipost hii picha kwenye ukurasa wake wa Instagram jana, halafu akaandika >>> ‘Hi everybody, MJENGONI DAY ONE!!!‘
Wabunge wengine pia wakiendelea na utaratibu wa kusajiliwa Dodoma.
Nimeipata Ratiba ya kitakachoendeleaDodomakwa jumla ya siku saba mfululizo kupitia blog ya millardayo.com
Newsroom TZA , yani kuanzia jana November 13 mpakaNovember 20 2015… Ratiba yenyewe hii hapa.
Joseph Haule a.k.a Professor Jay alipost hii picha kwenye ukurasa wake wa Instagram jana, halafu akaandika >>> ‘Hi everybody, MJENGONI DAY ONE!!!‘
Wabunge wengine pia wakiendelea na utaratibu wa kusajiliwa Dodoma.
New Music: Justin bieber Feat. Ariana Grande – What do you mean? [ Rmx ]
Remix ya Justin bieber aliyomshirikisha mwanadada ArianaGrande – What do you mean? [ Rmx ] hii apa
Marehemu Paul Walkeralikuwa mmoja ya wakali ambao wamecheza movie za Fast & Furious… Kifo chake ni moja kati ya vifo vilivyoshtua na kuwaumiza watu wengi Duniani.
Jamaa alifariki kwa ajali ya gari aina yaPorsche Carrera GT ambayo ilikuwa inaendeshwa na rafiki yake, Roger Rodas na Paulmwenyewe alikuwa amekaa upande wa pili.. hiyo ilikuwa November 30 2013, California Marekani.
Hili ndio eneo ambalo Paul Walker alipata ajali.
Leo kuna story ambayo imepewa uzito sana mitandaoni, inahusu ishu ya mtoto wa kike wa Paul Walkerambaye anaitwa Meadow Rain Walker mwenye umri wa miaka 16… amefungua mashtaka kuishtaki Kampuni ya Porsche kwamba ajali iliyopelekea kifo cha baba yake miaka miwili iliyopita, ilitokana na gari kuwa na matatizo na anadai kwamba muundo wa gari hiyo haikuwa gari ya kutembelea, ila ilikuwa na muundo wa gari ya mashindano.
Kingine ambacho kiko kwenye Mashtaka hayo ni kwamba wanadai gari hiyo haikuwa na mfumo mzuri wa umeme, kwa hiyo ilikuwa ni ngumu pia kwa Paulpamoja na mshkaji wake kutoka salama baada ya kupata ajali hiyo… Uchunguzi wa Maofisa Usalama wa Los Angeles ulitoa Ripoti yao kwamba sababu ya ajali hiyo ilikuwa mwendokasi.
Paul alifariki wakati ambao walikuwa kwenye maandalizi ya Movie ya Fast & Furious 7
Kwenye Ripoti hiyo pia Wanausalama wanasema Marehemu wote wawili hawakuwa wametumia kilevi cha aina yoyote na wala hawakutumia dawa za Kulevya.
Wimbo ambao uliandaliwa kama Dedication kwa Paul Walker ni huu hapa.. Wiz KhalifaFeat. Charlie Puth– ‘See You Ag