Jumamosi, 14 Novemba 2015


Mambo yameanza Dodoma, ratiba ya Bunge ni hii + pichaz Wabunge waliofika..

By
Atkin Mulenga 
on
Kama umetembelea mitandao ya kijamii utakuwa umeona pilikapilika za kinachoendelea Dodoma sasahivi, baada ya Uchaguzi Mkuu kuisha wale wote waliopita kwenye nafasi ya Ubunge wanasubiri shughuli ya kuapishwa halafu Vikao vya Bunge vinaanza.
Mbunge Mteule wa Jimbo Mwanga K’njaro, Prof. Jumanne Maghembe akiwasilisha nyaraka zake wakati wa kusajiliwa Bungeni Dodoma.
MAGHEMBE        
Mbunge Mteule wa Sengerema, William Ngeleja nae kwenye foleni ya usajili katika Viwanja vya Bunge Dodoma.
NGELEJA
Mbunge Mteule wa Sengerema, William Ngeleja nae kwenye foleni ya usajili katika Viwanja vya Bunge Dodoma.
Prof JAY
Joseph Haule a.k.a Professor Jay alipost hii picha kwenye ukurasa wake wa Instagram jana, halafu akaandika >>> ‘Hi everybody, MJENGONI DAY ONE!!!
WABUNGE
Wabunge wengine pia wakiendelea na utaratibu wa kusajiliwa Dodoma.
Nimeipata Ratiba ya kitakachoendelea Dodoma kwa jumla ya siku saba mfululizo kupitia blog ya   millardayo.com  
 , yani kuanzia jana November 13  mpaka November 20 2015… Ratiba yenyewe hii hapa.
Bunge
Bunge II Bunge III



Prof JAY
Joseph Haule a.k.a Professor Jay alipost hii picha kwenye ukurasa wake wa Instagram jana, halafu akaandika >>> ‘Hi everybody, MJENGONI DAY ONE!!!
WABUNGE
Wabunge wengine pia wakiendelea na utaratibu wa kusajiliwa Dodoma.

New Music: Justin bieber Feat. Ariana Grande – What do you mean? [ Rmx ]


Remix ya Justin bieber aliyomshirikisha mwanadada  ArianaGrande – What do you mean? [ Rmx ] hii apa


Jumapili, 18 Oktoba 2015

Alhamisi, 1 Oktoba 2015

AJALI

Mtoto wa Marehemu Paul Walker kapeleka Kesi ya Kifo cha baba yake Mahakamani, madai yake ni haya…

By
Atkin mulenga 
on
Marehemu Paul Walker alikuwa mmoja ya wakali ambao wamecheza movie za Fast & Furious… Kifo chake ni moja kati ya vifo vilivyoshtua na kuwaumiza watu wengi Duniani.
Jamaa alifariki kwa ajali ya gari aina ya Porsche Carrera GT ambayo ilikuwa inaendeshwa na rafiki yake, Roger Rodas na Paul mwenyewe alikuwa amekaa upande wa pili.. hiyo ilikuwa November 30 2013, California Marekani.
Herculesstreet
Hili ndio eneo ambalo Paul Walker alipata ajali.
Leo kuna story ambayo imepewa uzito sana mitandaoni, inahusu ishu ya mtoto wa kike wa Paul Walker ambaye anaitwa Meadow Rain Walker mwenye umri wa miaka 16… amefungua mashtaka kuishtaki Kampuni ya Porsche kwamba ajali iliyopelekea kifo cha baba yake miaka miwili iliyopita, ilitokana na gari kuwa na matatizo na anadai kwamba muundo wa gari hiyo haikuwa gari ya kutembelea, ila ilikuwa na muundo wa gari ya mashindano.
Kingine ambacho kiko kwenye Mashtaka hayo ni kwamba wanadai gari hiyo haikuwa na mfumo mzuri wa umeme, kwa hiyo ilikuwa ni ngumu pia kwa Paul pamoja na mshkaji wake kutoka salama baada ya kupata ajali hiyo… Uchunguzi wa Maofisa Usalama wa Los Angeles ulitoa Ripoti yao kwamba sababu ya ajali hiyo ilikuwa mwendokasi.
Paul alifariki wakati ambao walikuwa kwenye maandalizi ya Movie ya Fast & Furious 7
Paul alifariki wakati ambao walikuwa kwenye maandalizi ya Movie ya Fast & Furious 7
Kwenye Ripoti hiyo pia Wanausalama wanasema Marehemu wote wawili hawakuwa wametumia kilevi cha aina yoyote na wala hawakutumia dawa za Kulevya.
Wimbo ambao uliandaliwa kama Dedication kwa Paul Walker ni huu hapa.. Wiz KhalifaFeat. Charlie Puth– ‘See You Ag


PART 1 - Dakika 6 Avril na Ben Pol on air with Millard Ayo